Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+ Isaya 55:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mnaendelea kulipa pesa kwa ajili ya kitu ambacho si mkate,Na kwa nini mtumie mapato yenu* kwa ajili ya kitu ambacho hakishibishi? Nisikilizeni kwa makini, mle kilicho chema,+Nanyi mtafurahia sana vitu vyenye lishe kwelikweli.*+ Luka 1:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na kuwafukuza mikono mitupu wale waliokuwa na mali.
10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+
2 Kwa nini mnaendelea kulipa pesa kwa ajili ya kitu ambacho si mkate,Na kwa nini mtumie mapato yenu* kwa ajili ya kitu ambacho hakishibishi? Nisikilizeni kwa makini, mle kilicho chema,+Nanyi mtafurahia sana vitu vyenye lishe kwelikweli.*+
53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na kuwafukuza mikono mitupu wale waliokuwa na mali.