Zaburi 36:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+ 8 Wanakunywa na kushiba vitu vinono vya* nyumba yako,+Nawe huwanywesha kwenye kijito cha vitu vyako vinavyofurahisha.+ Zaburi 63:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nimeridhika na fungu bora ambalo ni zuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+
7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+ 8 Wanakunywa na kushiba vitu vinono vya* nyumba yako,+Nawe huwanywesha kwenye kijito cha vitu vyako vinavyofurahisha.+
5 Nimeridhika na fungu bora ambalo ni zuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+