Zaburi 71:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Midomo yangu itapaza sauti kwa shangwe ninapokuimbia sifa,+Kwa maana umeokoa uhai wangu.*+ Zaburi 135:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifuni Yah, kwa maana Yehova ni mwema.+ Liimbieni sifa* jina lake, kwa maana linapendeza.