2 Samweli 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+ Zaburi 103:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Huukomboa uhai wako kutoka shimoni*+Na kukuvika taji la upendo wake mshikamanifu na rehema.+
9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+