1 Samweli 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe,+ na Yehova anilipizie kisasi mambo unayonitendea,+ lakini sitainua mkono wangu dhidi yako.+ 1 Samweli 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, mwanangu Daudi. Hakika utatenda mambo makubwa, na hakika utashinda.”+ Kisha Daudi akaenda zake, na Sauli akarudi kwake.+ 2 Samweli 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Mwanamume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta uwe mfalme wa Israeli,+ nami nilikuokoa kutoka mikononi mwa Sauli.+ Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+Naye huwaokoa.+
12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe,+ na Yehova anilipizie kisasi mambo unayonitendea,+ lakini sitainua mkono wangu dhidi yako.+
25 Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, mwanangu Daudi. Hakika utatenda mambo makubwa, na hakika utashinda.”+ Kisha Daudi akaenda zake, na Sauli akarudi kwake.+
7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Mwanamume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta uwe mfalme wa Israeli,+ nami nilikuokoa kutoka mikononi mwa Sauli.+