Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe,+ na Yehova anilipizie kisasi mambo unayonitendea,+ lakini sitainua mkono wangu dhidi yako.+

  • 1 Samweli 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, mwanangu Daudi. Hakika utatenda mambo makubwa, na hakika utashinda.”+ Kisha Daudi akaenda zake, na Sauli akarudi kwake.+

  • 2 Samweli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Mwanamume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta uwe mfalme wa Israeli,+ nami nilikuokoa kutoka mikononi mwa Sauli.+

  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+

      Naye huwaokoa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki