Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+

  • Danieli 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mungu wangu alimtuma malaika wake akafunga vinywa vya simba,+ nao hawajanidhuru,+ kwa sababu sikupatikana na hatia mbele zake; wala sijakutendea jambo lolote baya, Ee mfalme.”

  • Matendo 5:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+ 19 Lakini usiku, malaika wa Yehova* akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kuwaambia:

  • Matendo 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Petro alipotambua kilichokuwa kikitendeka, akasema: “Sasa ninajua kwa hakika kwamba Yehova* alimtuma malaika wake na kunikomboa kutoka mkononi mwa Herode na mambo yote ambayo Wayahudi walitarajia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki