35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
22 Mungu wangu alimtuma malaika wake akafunga vinywa vya simba,+ nao hawajanidhuru,+ kwa sababu sikupatikana na hatia mbele zake; wala sijakutendea jambo lolote baya, Ee mfalme.”
18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+19 Lakini usiku, malaika wa Yehova* akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kuwaambia:
11 Petro alipotambua kilichokuwa kikitendeka, akasema: “Sasa ninajua kwa hakika kwamba Yehova* alimtuma malaika wake na kunikomboa kutoka mkononi mwa Herode na mambo yote ambayo Wayahudi walitarajia.”+