Danieli 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:22 dp 123 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:22 Unabii wa Danieli, kur. 122-123
22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+