7 Lakini tazama! malaika wa Yehova* alikuwa amesimama hapo,+ na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akamgonga Petro ubavuni, akamwamsha akisema: “Simama upesi!” Na minyororo ikaanguka kutoka kwenye mikono yake.+
26 Ghafla tetemeko kubwa la ardhi likatokea na misingi ya jela ikatikiswa. Isitoshe, milango yote ikafunguliwa mara moja, na vifungo vyao wote vikafunguka.+