Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+Naye huwaokoa.+ Zaburi 91:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atawaagiza malaika zake+ kukuhusu wewe,Ili kukulinda katika njia zako zote.+ Matendo 5:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+ 19 Lakini usiku, malaika wa Yehova* akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kuwaambia:
18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+ 19 Lakini usiku, malaika wa Yehova* akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kuwaambia: