Kutoka 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?
7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+
14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?