Matendo 5:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+ 19 Lakini usiku, malaika wa Yehova* akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kuwaambia:
18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+ 19 Lakini usiku, malaika wa Yehova* akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kuwaambia: