Yoeli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo milima itadondosha divai tamu,+Vilima vitatiririka maziwa,Na vijito vyote vya Yuda vitatiririka maji. Kutoka katika nyumba ya Yehova kijito kitatiririka,+Nacho kitanywesha Bonde la* Miti ya Mishita.
18 Siku hiyo milima itadondosha divai tamu,+Vilima vitatiririka maziwa,Na vijito vyote vya Yuda vitatiririka maji. Kutoka katika nyumba ya Yehova kijito kitatiririka,+Nacho kitanywesha Bonde la* Miti ya Mishita.