Kumbukumbu la Torati 28:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova atawatuma maadui wenu wawashambulie, nanyi mtawatumikia+ mkiwa na njaa+ na kiu na uchi na mkiwa maskini kabisa.* Ataweka nira ya chuma kwenye shingo zenu mpaka atakapokuwa amewaangamiza. Amosi 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,‘Nitakapoleta njaa kali nchini,Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+
48 Yehova atawatuma maadui wenu wawashambulie, nanyi mtawatumikia+ mkiwa na njaa+ na kiu na uchi na mkiwa maskini kabisa.* Ataweka nira ya chuma kwenye shingo zenu mpaka atakapokuwa amewaangamiza.
11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,‘Nitakapoleta njaa kali nchini,Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+