Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+ Isaya 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+Wewe niliyekuchagua, Ee Yakobo,+Uzao wa* rafiki yangu Abrahamu,+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+
8 “Lakini wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+Wewe niliyekuchagua, Ee Yakobo,+Uzao wa* rafiki yangu Abrahamu,+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+