2 Mambo ya Nyakati 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Mungu wetu, je, hukuwafukuza wakaaji wa nchi hii kutoka mbele ya watu wako Waisraeli na kisha kuupa uzao wa* rafiki yako Abrahamu nchi hii iwe miliki yao ya kudumu?+ Yakobo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+
7 Ee Mungu wetu, je, hukuwafukuza wakaaji wa nchi hii kutoka mbele ya watu wako Waisraeli na kisha kuupa uzao wa* rafiki yako Abrahamu nchi hii iwe miliki yao ya kudumu?+
23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+