Mwanzo 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawa na imani katika Yehova,+ Naye akamhesabu kuwa mwadilifu.*+ Waroma 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwani andiko linasema nini? “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+ Wagalatia 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kama vile Abrahamu “alivyokuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+
3 Kwani andiko linasema nini? “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+