Waebrania 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa imani, Abrahamu+ alipoitwa alitii kwa kutoka na kwenda mahali ambapo angepokea kuwa urithi; aliondoka, ingawa hakujua mahali alipokuwa akienda.+
8 Kwa imani, Abrahamu+ alipoitwa alitii kwa kutoka na kwenda mahali ambapo angepokea kuwa urithi; aliondoka, ingawa hakujua mahali alipokuwa akienda.+