Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Abrahamu au uzao wake* hawakupata ahadi kwamba atakuwa mrithi wa ulimwengu kupitia sheria,+ bali kupitia uadilifu kwa imani.+

  • Waroma 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo “ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+

  • Wagalatia 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kama vile Abrahamu “alivyokuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+

  • Yakobo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki