Waroma 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Abrahamu au uzao wake* hawakupata ahadi kwamba atakuwa mrithi wa ulimwengu kupitia sheria,+ bali kupitia uadilifu kwa imani.+ Waroma 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo “ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+ Wagalatia 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kama vile Abrahamu “alivyokuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu.”+ Yakobo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+
13 Kwa maana Abrahamu au uzao wake* hawakupata ahadi kwamba atakuwa mrithi wa ulimwengu kupitia sheria,+ bali kupitia uadilifu kwa imani.+
23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+