Mwanzo 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawa na imani katika Yehova,+ Naye akamhesabu kuwa mwadilifu.*+ Waroma 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwani andiko linasema nini? “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+ Yakobo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+
3 Kwani andiko linasema nini? “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+
23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu,”+ naye akaitwa rafiki ya Yehova.*+