Waefeso 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa kuwa wakati fulani mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana.+ Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru, Wakolosai 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Alituokoa kutoka kwenye mamlaka ya giza+ na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
8 kwa kuwa wakati fulani mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana.+ Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,