Mathayo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+ Yohana 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao.
16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+
36 Wakati mna nuru, iweni na imani* katika nuru ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo, kisha akaenda kujificha mbali nao.