Ufunuo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na ukawafanya kuwa ufalme+ na makuhani kwa Mungu wetu,+ nao watatawala wakiwa wafalme+ juu ya dunia.” Ufunuo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+
10 na ukawafanya kuwa ufalme+ na makuhani kwa Mungu wetu,+ nao watatawala wakiwa wafalme+ juu ya dunia.”
6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+