Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+ Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+ Ufunuo 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi ndiye Alfa na Omega,*+ wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.
6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+