26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana ameonyesha majivuno sana juu ya Yehova mwenyewe;+ na Moabu amegaagaa katika matapiko+ yake, naye amekuwa kitu cha kudhihakiwa, yeye mwenyewe.
29 “Tumesikia habari za kiburi cha Moabu+—ana majivuno sana—habari za ustahiki wake na za kiburi chake na za majivuno yake na za kuinuka kwa moyo wake.”+