Yeremia 48:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “‘Na hakika Moabu ataangamizwa asiwe kikundi cha watu,+ kwa maana ameonyesha majivuno+ sana juu ya Yehova. Ezekieli 35:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nanyi mliendelea kutenda kwa majivuno makubwa juu yangu kwa vinywa vyenu,+ nanyi mmezidisha maneno yenu juu yangu.+ Mimi mwenyewe nimeyasikia.’+
42 “‘Na hakika Moabu ataangamizwa asiwe kikundi cha watu,+ kwa maana ameonyesha majivuno+ sana juu ya Yehova.
13 Nanyi mliendelea kutenda kwa majivuno makubwa juu yangu kwa vinywa vyenu,+ nanyi mmezidisha maneno yenu juu yangu.+ Mimi mwenyewe nimeyasikia.’+