Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wamesema: “Njooni, tuwafutilie mbali wasiwe taifa,+

      Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”+

  • Isaya 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko, na kichwa cha Damasko ni Resini; na katika muda wa miaka 65 tu Efraimu itavunjwa vipande-vipande ili isiwe kikundi cha watu.+

  • Yeremia 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe;+ lakini nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya.+ Hata hivyo, kwako sitafanya maangamizi.+ Nami nitakurekebisha kwa kiwango kinachofaa, kwa kuwa sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki