Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 anayehifadhi fadhili zenye upendo kwa ajili ya maelfu,+ anayesamehe kosa na ubaya na dhambi,+ lakini kwa vyovyote hatakosa kuadhibu,+ anayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya wajukuu, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne.”+

  • Zaburi 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ee Yehova, katika hasira yako usinikaripie,+

      Na katika ghadhabu yako usinirekebishe.+

  • Yeremia 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+

  • Yeremia 46:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,’ asema Yehova, ‘kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Kwa maana nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya huko,+ lakini wewe sitakuangamiza.+ Hata hivyo, nitakutia adabu kwa kiwango kinachofaa,+ nami sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki