2 Wafalme 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+ Yeremia 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+ “‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”
28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+
23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+ “‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”