Zaburi 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa nini mwovu amekosa kumheshimu Mungu?+Amesema katika moyo wake: “Wewe hutatoza hesabu.”+ Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Isaya 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, shoka litajiinua juu ya mtu anayekata akilitumia, au msumeno kujitukuza juu ya mtu anayeusogeza mbele na nyuma, kana kwamba fimbo iliwasogeza mbele na nyuma wale wanaoiinua juu, kana kwamba fimbo ilimwinua juu yeye ambaye si mti?+
15 Je, shoka litajiinua juu ya mtu anayekata akilitumia, au msumeno kujitukuza juu ya mtu anayeusogeza mbele na nyuma, kana kwamba fimbo iliwasogeza mbele na nyuma wale wanaoiinua juu, kana kwamba fimbo ilimwinua juu yeye ambaye si mti?+