Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Ni miungu gani kati ya miungu yote ya nchi ambayo imeikomboa nchi yao kutoka mkononi mwangu,+ hivi kwamba Yehova akomboe Yerusalemu kutoka mkononi mwangu?”’”+

  • Zaburi 74:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaokuonyesha uadui wamenguruma katikati ya mahali pa kukutania.+

      Wameweka ishara zao wenyewe kuwa ndizo ishara.+

  • Zaburi 83:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana, tazama! adui zako wanafanya fujo;+

      Na wale wanaokuchukia vikali wameinua kichwa chao.+

  • Isaya 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yeye amesema, ‘Kwa nguvu za mkono wangu hakika nitatenda,+ na kwa hekima yangu, kwa maana nina uelewaji; nami nitaiondoa mipaka ya vikundi vya watu,+ nami hakika nitavipora vitu vyao vilivyowekwa akiba,+ nami nitawashusha wakaaji kama mwenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki