Mathayo 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+ Marko 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Makristo wa uwongo na manabii wa uwongo watatokea+ na kutoa ishara na maajabu+ ili kupotosha, ikiwezekana, wale waliochaguliwa.+
24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+
22 Kwa maana Makristo wa uwongo na manabii wa uwongo watatokea+ na kutoa ishara na maajabu+ ili kupotosha, ikiwezekana, wale waliochaguliwa.+