Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+

  • 2 Wathesalonike 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi-sheria ni kulingana na utendaji+ wa Shetani pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu+

  • Ufunuo 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye hufanya ishara+ kubwa, hivi kwamba hata yeye hufanya moto ushuke kutoka mbinguni mpaka duniani machoni pa wanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki