Mathayo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+ 2 Wathesalonike 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi-sheria ni kulingana na utendaji+ wa Shetani pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu+ Ufunuo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye hufanya ishara+ kubwa, hivi kwamba hata yeye hufanya moto ushuke kutoka mbinguni mpaka duniani machoni pa wanadamu.
22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+
9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi-sheria ni kulingana na utendaji+ wa Shetani pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu+
13 Naye hufanya ishara+ kubwa, hivi kwamba hata yeye hufanya moto ushuke kutoka mbinguni mpaka duniani machoni pa wanadamu.