Kumbukumbu la Torati 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+ Mathayo 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+
24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+