Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+

      Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+

      Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+

  • Zaburi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini mataifa yamekuwa na fujo+

      Na vikundi vya mataifa vimeendelea kusema jambo la upuuzi?+

  • Zaburi 74:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaokuonyesha uadui wamenguruma katikati ya mahali pa kukutania.+

      Wameweka ishara zao wenyewe kuwa ndizo ishara.+

  • Matendo 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 na ambaye kupitia roho takatifu ulisema kwa kinywa cha babu yetu Daudi,+ mtumishi wako, ‘Kwa nini mataifa yakawa yenye fujo na vikundi vya watu vikatafakari juu ya mambo matupu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki