2 Wafalme 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+ Zaburi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yamekuwa na fujo+Na vikundi vya mataifa vimeendelea kusema jambo la upuuzi?+ Zaburi 74:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaokuonyesha uadui wamenguruma katikati ya mahali pa kukutania.+Wameweka ishara zao wenyewe kuwa ndizo ishara.+ Matendo 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 na ambaye kupitia roho takatifu ulisema kwa kinywa cha babu yetu Daudi,+ mtumishi wako, ‘Kwa nini mataifa yakawa yenye fujo na vikundi vya watu vikatafakari juu ya mambo matupu?+
28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+
4 Wale wanaokuonyesha uadui wamenguruma katikati ya mahali pa kukutania.+Wameweka ishara zao wenyewe kuwa ndizo ishara.+
25 na ambaye kupitia roho takatifu ulisema kwa kinywa cha babu yetu Daudi,+ mtumishi wako, ‘Kwa nini mataifa yakawa yenye fujo na vikundi vya watu vikatafakari juu ya mambo matupu?+