Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+

      Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+

      Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+

  • Ezekieli 38:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami hakika nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako+ na kukutoa pamoja na jeshi lako lote,+ farasi na wapanda-farasi, wote wakiwa wamevaa mavazi yenye kupendeza,+ kutaniko kubwa sana, lenye ngao kubwa na ngao ndogo, wote wakiwa na panga;+

  • Amosi 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa utakatifu wake,+ ‘ “Tazama! Kuna siku zinazokuja juu yenu, naye atawainua ninyi kwa kulabu za mchinjaji na sehemu yenu ya mwisho kwa ndoano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki