2 Wafalme 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+ Ezekieli 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitaweka kulabu katika mataya yako+ na kufanya samaki wa mifereji yako ya Nile washikamane na magamba yako. Nami nitakutoa kutoka katikati ya mifereji yako ya Nile na samaki wote wa mifereji yako ya Nile wanaoshikamana na magamba yako. Ezekieli 39:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nitakugeuza na kukuongoza+ na kukufanya uje kutoka katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini+ na kukuingiza kwenye milima ya Israeli.
28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+
4 Nami nitaweka kulabu katika mataya yako+ na kufanya samaki wa mifereji yako ya Nile washikamane na magamba yako. Nami nitakutoa kutoka katikati ya mifereji yako ya Nile na samaki wote wa mifereji yako ya Nile wanaoshikamana na magamba yako.
2 Nami nitakugeuza na kukuongoza+ na kukufanya uje kutoka katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini+ na kukuingiza kwenye milima ya Israeli.