Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni Yeye anayetufundisha+ sisi kuliko wanyama wa dunia,+

      Naye anatufanya tuwe na hekima kuliko hata viumbe vinavyoruka vya mbinguni.

  • Methali 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mjeledi ni wa farasi,+ lijamu+ ni ya punda, nayo fimbo ni ya mgongo wa watu wajinga.+

  • Yeremia 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nimetega sikio,+ nami niliendelea kusikiliza.+ Jinsi walivyoendelea kusema haikuwa sawa. Hakuna mtu yeyote aliyekuwa akitubu ubaya wake,+ akisema, ‘Nimefanya nini?’ Kila mmoja anarudi katika mwendo unaopendwa na wengi,+ kama farasi anayekimbia kwenda vitani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki