Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+ Methali 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kemeo huingia ndani zaidi katika mtu mwenye uelewaji+ kuliko kumpiga mjinga mara mia moja.+ Methali 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata ukimtwanga mpumbavu awe laini kwa mtwangio katika kinu, pamoja na nafaka iliyovunjika, upumbavu wake hautamtoka.+ 1 Wakorintho 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mnataka nini? Je, nije kwenu nikiwa na fimbo,+ au kwa upendo na upole wa roho?+ 2 Wakorintho 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 nasi tuko tayari kutoa adhabu kwa ajili ya kila kitu kisichotii,+ mara tu utii wenu wenyewe utakapokuwa umeisha kutimizwa kikamilifu.+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+
22 Hata ukimtwanga mpumbavu awe laini kwa mtwangio katika kinu, pamoja na nafaka iliyovunjika, upumbavu wake hautamtoka.+
6 nasi tuko tayari kutoa adhabu kwa ajili ya kila kitu kisichotii,+ mara tu utii wenu wenyewe utakapokuwa umeisha kutimizwa kikamilifu.+