Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+

  • Methali 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kemeo huingia ndani zaidi katika mtu mwenye uelewaji+ kuliko kumpiga mjinga mara mia moja.+

  • Methali 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata ukimtwanga mpumbavu awe laini kwa mtwangio katika kinu, pamoja na nafaka iliyovunjika, upumbavu wake hautamtoka.+

  • 1 Wakorintho 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mnataka nini? Je, nije kwenu nikiwa na fimbo,+ au kwa upendo na upole wa roho?+

  • 2 Wakorintho 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 nasi tuko tayari kutoa adhabu kwa ajili ya kila kitu kisichotii,+ mara tu utii wenu wenyewe utakapokuwa umeisha kutimizwa kikamilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki