1 Timotheo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+ Waebrania 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+
20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+
10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+