Methali 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwasi-imani humletea mwenzake uharibifu kwa kinywa chake,+ lakini waadilifu huokolewa kwa ujuzi.+ Matendo 13:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Wayahudi walipoona umati, walijawa na wivu+ na kuanza kuyapinga kwa kukufuru mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.+
45 Wayahudi walipoona umati, walijawa na wivu+ na kuanza kuyapinga kwa kukufuru mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.+