2 Wafalme 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,+ akamtumia mfalme wa Ashuru rushwa.+ 2 Wafalme 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakati huo Hezekia akaing’oa milango ya hekalu la Yehova+ na miimo ambayo Hezekia mfalme wa Yuda alikuwa ameifunika,+ kisha akampa mfalme wa Ashuru.
8 Basi Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,+ akamtumia mfalme wa Ashuru rushwa.+
16 Wakati huo Hezekia akaing’oa milango ya hekalu la Yehova+ na miimo ambayo Hezekia mfalme wa Yuda alikuwa ameifunika,+ kisha akampa mfalme wa Ashuru.