2 Wafalme 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakati huo Hezekia aling’oa* milango ya hekalu+ la Yehova na miimo ambayo yeye mwenyewe, Mfalme Hezekia wa Yuda, alikuwa ameifunika kwa dhahabu,+ naye akampa mfalme wa Ashuru.
16 Wakati huo Hezekia aling’oa* milango ya hekalu+ la Yehova na miimo ambayo yeye mwenyewe, Mfalme Hezekia wa Yuda, alikuwa ameifunika kwa dhahabu,+ naye akampa mfalme wa Ashuru.