2 Wafalme 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakati huo Hezekia akaing’oa milango ya hekalu la Yehova+ na miimo ambayo Hezekia mfalme wa Yuda alikuwa ameifunika,+ kisha akampa mfalme wa Ashuru.
16 Wakati huo Hezekia akaing’oa milango ya hekalu la Yehova+ na miimo ambayo Hezekia mfalme wa Yuda alikuwa ameifunika,+ kisha akampa mfalme wa Ashuru.