Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imebaki katika hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme, akaitia mkononi mwa watumishi wake; na Mfalme Asa akawatuma waende kwa Ben-hadadi+ mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema:

  • 2 Wafalme 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika nyumba ya Yehova+ na katika hazina za nyumba ya mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa Asa akatoa fedha na dhahabu katika hazina za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme,+ akazipeleka kwa Ben-hadadi+ mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki