2 Mambo ya Nyakati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa Asa akatoa fedha na dhahabu katika hazina za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme,+ akazipeleka kwa Ben-hadadi+ mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema:
2 Sasa Asa akatoa fedha na dhahabu katika hazina za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme,+ akazipeleka kwa Ben-hadadi+ mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema: