Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.

  • 2 Wafalme 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Elisha akaenda Damasko;+ na Ben-hadadi+ mfalme wa Siria alikuwa mgonjwa. Basi akaletewa habari, ikisema: “Yule mtu wa Mungu+ wa kweli amefika hapa.”

  • 2 Wafalme 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehoashi mfalme wa Yuda akachukua matoleo yote matakatifu+ ambayo Yehoshafati na Yehoramu na Ahazia mababu zake, wafalme wa Yuda, walikuwa wameyatakasa na matoleo yake mwenyewe matakatifu na dhahabu yote iliyoonekana katika hazina za nyumba ya Yehova na nyumba ya mfalme, akavipeleka+ kwa Hazaeli mfalme wa Siria. Basi akaondoka juu ya Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki