2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”
24 Naye akazidi kukusanya watu upande wake, akawa mkuu wa kikundi cha waporaji, Daudi alipowaua watu wa Soba.+ Basi wakaenda Damasko,+ wakaanza kukaa humo na kuanza kutawala katika Damasko.
5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’