Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”

  • 1 Wafalme 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akazidi kukusanya watu upande wake, akawa mkuu wa kikundi cha waporaji, Daudi alipowaua watu wa Soba.+ Basi wakaenda Damasko,+ wakaanza kukaa humo na kuanza kutawala katika Damasko.

  • Yeremia 49:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Nami nitawasha moto juu ya ukuta wa Damasko, nao utaiteketeza minara ya makao ya Ben-hadadi.”+

  • Amosi 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki