Amosi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveniNa yule anayetawala* Beth-edeni;Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’ Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:5 Mnara wa Mlinzi,4/1/1989, uku. 22
5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveniNa yule anayetawala* Beth-edeni;Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’