Isaya 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko,Na kichwa cha Damasko ni Resini. Katika muda wa miaka 65 tuEfraimu litavunjwa kabisa na halitakuwa taifa tena.+ Isaya 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita, ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mali za Damasko na nyara za Samaria zitachukuliwa mbele ya mfalme wa Ashuru.”+ Isaya 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tangazo dhidi ya Damasko:+ “Tazama! Damasko halitakuwa jiji tena,Nalo litakuwa rundo la magofu.+
8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko,Na kichwa cha Damasko ni Resini. Katika muda wa miaka 65 tuEfraimu litavunjwa kabisa na halitakuwa taifa tena.+
4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita, ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mali za Damasko na nyara za Samaria zitachukuliwa mbele ya mfalme wa Ashuru.”+