Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 16:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme,* akampelekea mfalme wa Ashuru kama rushwa.+ 9 Mfalme wa Ashuru akakubali ombi lake, naye akapanda kwenda Damasko na kuliteka jiji hilo na kuwapeleka watu wake uhamishoni huko Kiri,+ akamuua Resini.+

  • Isaya 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita, ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mali za Damasko na nyara za Samaria zitachukuliwa mbele ya mfalme wa Ashuru.”+

  • Amosi 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+

      Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveni

      Na yule anayetawala* Beth-edeni;

      Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki